WhatsApp Group Join Now

Nafasi za Kazi Mafia Dc 04-09-2025

 

Nafasi za Kazi Mafia Dc 04-09-2025

Nafasi za Kazi Mafia Dc 04-09-2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Mafia anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi mbili (02) katika Halmashauri hii baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:

1.DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 2

Majukumu ya Muombaji

Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya  uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1)  bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata  madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari  (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine  kinachotambuliwa na Serikali.


Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja  na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa: -

Mkurugenzi Mtendaji,

Halmashauri ya Wilaya ya Mafia,

13 Barabara ya Boma

S.L.P. 85,

61782 MAFIA.

DOWNLOAD PDF YA TANGAZO


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad