WhatsApp Group Join Now

Majina ya Walioitwa Kazini Jiji la Dar es Salaam

 

Majina ya Walioitwa Kazini Jiji la Dar es Salaam

Majina ya Walioitwa Kazini Jiji la Dar es Salaam

Mkurugenzi wa Halmashaurii ya Jiji la Dar es Salaam anapenda kuwataarifa waombaji kazi wa nafasi za Udereva Daraja la II, Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II na  Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II waliofanya usaili kati ya tarehe 14/09/2025 hadi 18/09/2025 matokeo yapo tayari. Waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika jedwali hili.

Kuitwa Kazini Dar es Salaam

Call for Placement Dar es Salaam

DOWNLOAD AD


Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili wanatakiwa kuripoti kwa mwajiri (Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam) kuanzia tarehe 19/09/2025 hadi tarehe  25/09/2025 baada ya tangazo hili wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia Kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazi hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad