WhatsApp Group Join Now

Nafasi za Kazi Rungwe Dc

 

Nafasi za Kazi Rungwe Dc

Nafasi za Kazi Rungwe Dc - Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri (W) ya Rungwe anawatangazia Watanzania  wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na moja (11) katika Halmashauri hii baada  ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na  Utawala Bora kwa mchanganuo ufuatao:

1. DEREVA II – NAFASI 4

2. MWANDISHI MWENDESHA OFISI II – NAFASI 3

3. MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II- NAFASI 4

Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 01 Oktoba, 2025

Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa  pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:-

MKURUGENZI MTENDAJI

HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE

S. L. P 148

RUNGWE

Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anauani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ . Anuani hii inapatikana pia kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa ‘Recruitment Portal’.

Download Pdf ya Tangazo la Nafasi za Kazi Rungwe Dc lenye Maelekezo yote (Majukumu na Sifa ya Muombaji)

DOWNLOAD PDF HERE

ANGALIA TANGAZO LETU (DONATION)


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad